Eneo la Magomeni Mikumi karibu na Hotel Travetine, mvua hii ya muda mfupi maji yamejaa barabarani
Nako mitaani hali ndo mbaya zaidi
Na usiombe Ukosane na Mama mwenye nyumba kipindi kama hiki akutolee vitu nje kama hivi na mvua ikukute nje
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako