Tuesday 17 March 2015

MOTO JENGO MOJAWAPO LA MABIBO HOSTEL-DAR

Moto umezuka katika Hostel ya Mabibo na kusababisha hali ya taharuki. Hostel hii inamilikiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Jengo lililoshika moto lilikuwa linalotumiwa na baadhi wanafunzi wa kike wa Chuo hicho
Harakati za kuokoa kilichosalimika

No comments:

Post a Comment

Maoni yako