Friday 6 March 2015

HALI HII MPAKA LINI?

Abiria wakigombania kuingia kuingia kwenye daladala hadi wengine wanapitia mlango wa dereva. Hii ni hatari na sio jambo la busara. Tunaomba Serikali izidi kuongeza nguvu kutatua tatizo hili

No comments:

Post a Comment

Maoni yako