Kwa wale Wakristo, jumapili ya leo ni adhimisho la Jumapili ya Matawi kukumbuka Yesu alipoingia Jerusalem kwa shangwe kabla ya kuteswa kufa na kufufuka. Ni wiki ya maadhimisho makuu kuelekea Pasaka.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako