Tuesday 31 March 2015

MICHEZO YA WATOTO INAYOKUZA UMOJA NA UPENDO

Michezo kama hii ya watoto katika baadhi ya jamii zetu hasa waliotawaliwa na utandawazi wanaiona kama upuuzi. Lakini Michezo hii inakuza akili, inaburudisha, inaleta umoja na upendo kutokana na wanavyoshirikiana katika kucheza. Tujitahidi kuwapa moyo watoto wetu wapende michezo sio kutwa kukaa wakiangalia TV.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako