Saturday 7 March 2015

BODABODA MBEYA WALALAMIKA

Bodaboda wa Mjini Mbeya wameilalamikia serikali kwamba inawatwika mzigo mkubwa kwa ushuru mbalimbali na pia tamko la hivi karibuni kwamba wanunue mtungi wa gesi ya zimamoto.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako