Friday 6 March 2015

JK AKUTANA NA VIONGOZI WA WENYE ULEMAVU WA NGOZI-ALBINO

Rais Kikwete akiongea na ​Viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi Machi 5, 2015 alipowakaribisha ili kusikiliza matatizo yao na kujadiliana nao mikakati ya namna ya kukomesha ukatili na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
(Picha kwa hisani ya Le Mutuz Blog)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako