Friday 26 June 2009

POKEENI VITANDA NA MAGODORO HAYA LAKINI SI KULALA TU; SOMENI KWA BIDII

Mwenyekiti wa WAMA ambaye pia ni Mke wa Rais wa Tanzania Mama Salma Kikwete akiwakabidhi Shule ya Sekondari Maginga ilioko Kibaha Mkoa wa Pwani.Vifaa hivyo vimetolewa na Stanbic Bank

No comments:

Post a Comment

Maoni yako