Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano kuhusu Kilimo katika Hoteli ya Kunduchi Beach, nje kidogo ya jiji la Dar jana. Amezidi kusisitiza kuzingatia kilimo kwani ni nguzo ya uchumi na uhai wa Taifa. Kaulimbiu yake "KILIMO KWANZA"
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!