Habari za hivi punde kadiri ya "The Los Angeles Times" zinasema , Mfalme wa Pop Michael Jackson amefariki huko Los Angeles mara baada ya kufikishwa hospitalin hapo akiwa mahututi. Hii ni baada ya kupata mshtuko wa moyo (cardiac arrest) mchana wa jana. Habari zaidi baadae..........Hapa ni Michael Jackson akiwa na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alipotembelea Tanzania miaka ya tisini
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako