Ndege hiyo ya Air France ilkuwa na watu 228 iliondoka Rio de Janeiro Jumapili saa 1 jioni(2200 GMT) na ilitegemewa kutua Paris Charles de Gaulle airport Jmatatu saa 5:15 asubuhi(0915 GMT).Ndege hiyo ilipoteza mawsiliano na Radar ya Brazil masaa 3 na nusu hivi baada ya kuruka.


Ndani ya AirBus 330-200 kama iliyoanguka.
