Sunday 20 September 2015

MHE.LOWASSA APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA

Hapa wananchi wanaitikia "MABADILIKOOOO....LOWASSAAAA, LOWASAAAA....MABADILIKO"
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi Bukoba waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni, kusikiliza sera zake, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako