Monday 21 September 2015

CCM WAZIDI KUNG'ARA: DKT.MAGUFULI-BUKOBA,MAMA SAMIA - TANGA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Gymkana mjini Bukoba leo akiomba kura za ndiyo kwa wananchi wa mkoa huo kumpigia kura za ndiyo kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaifikapo Oktoba 25 mwaka huu ili aweze kuwatumikia watanzania
Diamond Platnumz na kundi lake wakitumbuiza mkutano wa kampeni ccm Bukoba
MAMA SAMIA AKIWA TANGA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako