Sunday 20 September 2015

MABASI 138 YA MRADI WA DART(MABASI YA MWENDO KASI) YAWASILI BANDARI YA DAR ES SALAAM

Sehemu ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yaliyowasili katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafiri katika kipindi cha mpito kwenye miundombino ya mfumo wa mabasi yaendayo haraka (BRT)kuanzaia mwezi ujao

No comments:

Post a Comment

Maoni yako