Friday 4 September 2015

MAMBO YA CHADEMA HUKO KATAVI

Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akihutubia kwenye Mkutano huo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi Septemba 3, 2015.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako