Saturday 19 September 2015

DKT MAGUFULI AHANI MSIBA WA MWALIMU WAKE WA SHULE YA MSINGI(maelezo,picha na video)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimfariji mama Paskazia Mufuruki mjane wa Marehemu mwalimu Colner Pastor wakati alipohani msiba huo katika kijiji cha Nyakatuntu wilayani Biharamulo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako