Sunday 20 September 2015

VIDEO: FIRST LADY MTARAJIWA KATIKA UBORA WAKE

Mama Janeth Magufuli akisalimia na mgombea Ubunge CCM Jimbo la Chato Dkt Meedad Kalemani mara baada ya kuwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa wamchague mhe.John Magufuli kuwa rais wa awamu ya Tano Tanzania

Mama Janeth Magufuli akiwasalimu wananchi wa Chato

No comments:

Post a Comment

Maoni yako