Tuesday 22 September 2015

MAGUFULI: "NIPO FIT"

mhe.Dkt Magufuli akipiga push ups akiwa jukwaani kuonyesha kuwa yupo fit kwa kazi ya Urais anayoiomba. Hili limettokea huko Ngara Mkoani Kagera akiwa katika siku yake ya mwisho ya kampeni Mkoani humo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako