Akiri hakuwa LIKIZO kama wengine walivyokuwa wanasema.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amesema amestaafu siasa hana chama, atabakia kuwa Mtanzania wa kawaida, mwaminifu kwa Taifa lake.
Amesema hataki kumtetea yeyote. Amekuja kuweka ukweli wazi (HABARI ZAIDI ZITAWAJIA HIVI PUNDE)
VIDEO ZAIDI
Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti 2025-2026
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako