Monday 14 September 2015

CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE ZANZIBAR

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein jana alizindua rasmi kampeni zake, akisema hana hofu ya kushindwa na kwamba akirejea madarakani atahakikisha anayalinda kwa nguvu zake zote Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 huku akiwataka wananchi kulinda amani na utulivu uliopo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako