Sunday 20 September 2015

DKT MAFUGULI KATIKA UBORA WAKE NYUMBANI CHATO

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Chato ambapo maelfu ya watu walijitokeza kwa wingi kwenye mkutano
Leo na Mama Magufuli (First Lady Mtarajiwa) alikuwepo, wa pili kutoka kushoto
Mama Magufuli alipokuwa akiwasalimiwa wananchi wa Chato
Umati ulojitokeza katika kampeni

No comments:

Post a Comment

Maoni yako