Wednesday 30 September 2015

HABARI NJEMA KWA WASAFIRI WA FASTJET KWENDA JOHANNESBURG

Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini

No comments:

Post a Comment

Maoni yako