Saturday 5 September 2015

MAMBO YA KAMPENI

Ukitazama vizuri mabango hayo mawili unapata ujumbe gani? Mie napita tu.......
Wakoloni walipokuwa hapa nchini walikuwa wakibebwa hivi, tukaona si sahihi tukapingana nao na wakaondoka, Machifu wetu pia walikuwa wakibebwa hivi ila baadae tunaona pia inadidimiza utu wa binadamu, leo iweje hapa au ndo tumeshasahau yote kwa ushabiki wa kisiasa tu. Nauliza tu.......

No comments:

Post a Comment

Maoni yako