Tuesday 26 May 2015

WALIKOTOKA NI MBALI MHE.RAIS KIKWETE NA MHE KINANA

Ndugu Jakaya Kikwete na Abdulrahman Kinana, siku ya kuhitimisha na kustaafu utumishi wao kwa JWTZ, Oktoba 1992. Hii ilikuwa ni miezi mitatu tangu kutangazwa kuanza rasmi kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania, Jumatano Julai 1, 1992

1 comment:

Maoni yako