Chini ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996. Leo ni tarehe 21 mei, siku ambayo kila mwaka watanzania wanaadhimisha tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchini iliyohusisha kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria. Leo ni miaka 19 tangu kutokea ajali hiyo.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako