Saturday 23 May 2015

MAPACHA WAOLEWA NA MWANAUME MMOJA

Owami na Olwethu Mzazi,mapacha wenye umri wa miaka 26 ,kutoka Vosloorus ,Afrika Kusini, hivi karibuni wamefunga ndoa na mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Mzukiseni Mzazi mwenye miaka 51.
Walipoulizwa na jarida moja nchini Afrika Kusini ,kwanini wameamua kuolewa na mwanaume mmoja,mapacha hao walisema wamekuwa wakishare kila kitu tangu walipokuwa na umri mdogo.

“ Siku zote tumekuwa tukifanya kila kitu pamoja. Tuna share kila kitu. Hivyo ndivyo bibi yetu alivyo tulea. So tulipo fikiri kuhusu kuolewa, tuliweka dhamira kuwa, mwanaume yoyote atakaye taka kumuoa mmoja wetu,lazima atuoe wote wawili. Owami ali lieleza jarida la Drum,la nchini Afrika Kusini.

1 comment:

Maoni yako