Friday 29 May 2015

RAIS MPYA WA NIGERIA MUHHAMADU BUHARI AAPISHWA LEO

Nchi ya Nigeria leo imemwapicha Rais mpya wa kwanza kutoka Chama cha Upinzani kuingoza Nchi hiyo
Mhe Rais aliyemaliza muda wake Goodluck Jonanathan akimpongeza mhe Rais Buhari mara baada ya kuapishwa leo.
Makamu wa Rais Wa Tanzania mhe. M. Bilal akiwasil nchini Nigeria kugusdhuria sherehe za kumuapisha Rais Buhari.
Rais alomaliza muda wake Goodluck Jonathan akimwonyesha Rais mpya Buari mazingira ya Ikulu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako