Tuesday 12 May 2015

HABARI NJEMA KUTOKA TRL KWA WATUMIAJI WA STESHENI YA TRENI NGURUKA-KIGOMA

Uongozi wa TRL unapenda kuwatangazia watumiaji wote wa usafiri wa Treni DAR/KIGOMA/DAR kuwa kuanzia Mei 17, 2015 Treni iendayo Kigoma ikitokea Dar na kurudi itakuwa ikisimama pia katika kituo cha Nguruka. Treni hii ni hii mpya ijulikanayo kama DELUX inayotumia mabehewa mapya yasiyozidi 15.
Vituo au stesheni itaposimama ni pamoja na MOROGORO,KILOSA,DODOMA,MAKUTUPORA,SARANDA,MANYONI,AGHONDI,ITIGI,TABORA,URAMBO,KALIUA,NGURUKA,UVINZA,KIGOMA. na pia ISAKA,SHINYANGA,MALAMPAKA,MWANZA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako