Vijana hawa Marafiki wa Mhe. Edward Lowassa walikwea Mlima Kilimanjaro na walipofika kileleni (UHURU PEAK) baada ya siku 5, walipiga picha hii kuonyesha ujumbe huu kwa Mhe.Rais Jakaya Kikwete.
Kundi la Vijana Marafiki wa Lowassa wakiwa njiani ktika safari yao ya kukwea mlima kilimanjaro
Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti 2025-2026
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako