Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani ambayo ilikuwa ikiwania Kombe la UEFA Champions imetolewa leo na wakali wa Barcelona hata baada ya kushinda 3-2. Sasa Barcelona wanasubirili mshindi wa kesho kati ya Real Madrid and Juventus ili kucheza nae katika Finali zitakazopigwa huko Berlin Ujerumani.
Neymar wa Barcelona katika harakati za kuifungia timu yake leo ambapo alifunga mabao yote mawili ya Barcelona
NEMC yashiriki maonyesho ya miaka 60 ya Muungano.
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako