Tuesday 19 May 2015

MAJAMBAZI YAKAMATWA KATIKA JARIBIO LA WIZI NMB SINZA MORI DAR

Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Bigbon Sinza Mori na kuiba, ila katika kutaka kuondoka kuelekea kwenye gariu lao wakadakwa na kuwekwa chini ya ulinzi. Hapa ndo ule msemo wa 'Za mwizi arobaini' umetimia kwao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako