Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Bigbon Sinza Mori na kuiba, ila katika kutaka kuondoka kuelekea kwenye gariu lao wakadakwa na kuwekwa chini ya ulinzi. Hapa ndo ule msemo wa 'Za mwizi arobaini' umetimia kwao.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako