Timu ya Bayern Munich ya huko Ujerumani imefungwa bao 3 kwa bila na Timu ya Barcelona katika mchezo wa nusu fainali. Mabao 2 yalifungwa na mshambuliaji makini Lionel Mess na la tatu lilifungwa na Neymar. Sasa Barcelona watakutana na Juventus katika fainali huko Berlin Ujerumani.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako