Saturday 9 May 2015

TUNAMSHUKURU MUNGU KWA YOTE: JANA MVUA SANA LEO JUA KALI

Kwa wiki nzima sasa maeneo mengi hasa jijini Dar kumekuwa na mvua ilosababisha adha nyingi za maji kufurika. Ila leo jua limewaka hata ukiona watu wamejikinga kwa mwavuli sio sababu ya mvua bali jua limekuwa kali

No comments:

Post a Comment

Maoni yako