Akikaribishwa na Waziri Mkuu wa Algeria Mhe. Abdelmalik sellal kuingia katika Ikulu ya nchi hiyo huko Zerald.
kiweka Shada la Maua katika Kaburi la Mashujaa wa Algeria.
Mhe. Rais Kikwete yupo nchini humo kwa ziara ya siku Tatu kwa mwaliko wa Mhe.Rais wa Algeria mhe. Abdelaziz Boureflika.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako