Tuesday 19 May 2015

MAENDELEO YA TERMINAL 3 YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA JULIUS NYERERE

Terminal 3 ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere unaendelea kujengwa na awamu ya kwanzan inatarajiwa kukamilika Juni 2016. Naibu Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango ndg Florance Mwanri alitembelea leo kujionea hali ilivyo na kutoa ushauri wa uboreshaji zaidi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako