Terminal 3 ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere unaendelea kujengwa na awamu ya kwanzan inatarajiwa kukamilika Juni 2016. Naibu Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango ndg Florance Mwanri alitembelea leo kujionea hali ilivyo na kutoa ushauri wa uboreshaji zaidi
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako