Moja ya maduka madogo ya maeneo ya vijijini na mtaani ambayo raia hujipatia mahitaji yao ya kila siku. Kuendelea kuwajibika,kutunza mtaji, kuboresha mauzo kutampelekea mjasiriamali huyu baadae kuwa na duka duka na hata Supermarket. KUMBUKA hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
BALOZI KAGANDA ATEMBELEA OFISI ZA TPA NCHINI ZIMBABWE
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako