Kesho ni jumatatu, k2wa wanafunzi hawa wanaosomea sakafuni unadhani watakuwa wanajisikia vizuri kwenda shuleni? Shule ambapo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa na utulivu na furaha, kwa hawa ni tofauti kabisa. Serikali na vyombo husika, tupieni jicho jambo hili
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
12 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako