Kesho ni jumatatu, k2wa wanafunzi hawa wanaosomea sakafuni unadhani watakuwa wanajisikia vizuri kwenda shuleni? Shule ambapo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa na utulivu na furaha, kwa hawa ni tofauti kabisa. Serikali na vyombo husika, tupieni jicho jambo hili
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
51 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako