Kesho ni Jumatatu wanafunzi wanarudi shuleni kupambana na kitabu.Lakini kwa watoto kama hawa wa shule ya Awali huko Songea wanaenda shule ila mazingira ya usomaji hayaridhishi kabisa. Serikali tupieni macho haya mapungufu. Marekebisho yanawezekana na juhudi tu na kutilia mkazo uwajibikaji stahili.
JKT YAACHANA NA KUNI SASA NI MATUMIZI YA GESI
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako