Timu ya Ujerumani imeingia Fainali za kombe la Dunia kwa kishindo baada ya kuichapa Timu ya Brazili kunakofanyikia mashindano hayo magoli 7 kwa 1. Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika Ujerumani ilikuwa mbele kwa mabao 5-0. Bao la Brazili la kufutia machozi lilifungwa na Oscar dakika za nyonyeza muda mfupi kabla ya mpira kumalizika.
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia moja ya magoli yao
"Fainali tumeikosa ndugu yangu...."
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
38 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako