Mpaka sasa ni dakika tisini zimeisha hakuna alieona lango la mwenzake. Zinaongezwa dakika 30
01:35am Dakika 30 za nyongeza zimeisha ikiwa ni bila kwa bila. Timu zote zinajiandaa kupiga penati kupata mshindi.
Robben wa Netherlands akijaribu kuwatoka wachezaji wa Argentina bila mafanikio.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
13 hours ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako