Timu ya Brazil imefanikiwa kuingia nusu fainali kombe la Dunia baada ya kuifunga Columbia 2-1 katika mchezo wa kufurahisha ulomalizika hivi punde. Magoli yote ya Brazili yalifungwa na Mabeki wa Timu hiyo kwa mtira wa kona na adhabu ndogo.
Mashabiki wa brazili
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
12 hours ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako