Timu ya Argentina iliyo na mchezaji maarufu Lionel Messi wamefuzu kuingia nusu fainali Kombe la Dunia baada ya kuichapa Ubelgiji 1-0 katika pambano kali lililomalizika hivi punde.
Gonzalo Higuain akipiga shuti la nguvu kuifungia Argentina bao pekee.
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
39 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako