Ukisikia mtu anasema utajuta kuzaliwa, basi ndo katika masuala kama haya. Hapa kijana huyu ameponea chupuchupu kugeuka "ndafu" baada ya wananchi wenye hasira kutaka kumchoma moto. Tuache mtindo wa kujichukulia sheria mkononi japo wakati mwingine inasababishwa na hasira. Huyu nae ni binadamu japo katika mapungufu yake.
ULEGA AWAFARIJI WAATHIRIKA WA MAFURIKO MKURANGA
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako