Makutano ya mtaa wa Swahili na Msimbazi hapo Kariakoo leo palikuwa na patashika kati ya majambazi na Polisi. Invyoonekana ilifanyika kazi nzuri kwa upande wa polisi katika kudhibiti Majambazi hayo. Hongereni walinda amani wetu.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!