Timu ya Man Utd imenyakua tena ubingwa wa Premier League huko Uingereza baada ya kutoka sare ya 0-0 na timu ya Arsenal. Timu hii imeukwaa ubingwa huo kwa mara ya 17 sasa. Hongereni mashabiki wa Man Utd.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako