Katika kuimarisha afya ya jamii, kumekuwa na msisitizo wa kusafisha mikono kabla na baada ya kula. Lakini wakati mwingine tunajisahau kama kila mmoja wa familia au jamii anafuata maelekezo haya kisahihi. Picha hii ni changamoto tu.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!