Hii ni picha inayoonyesha mwonekano wa jengo litakalojengwa kuhifadhi kumbukumbu mbalimbali za Baba wa Taifa Mwl.Nyerere. Jengo hili litajengwa Mtaa wa Shaaban Robert karibu na Makumbusho ya Taifa Dar-es-Salaam.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako