Huyu ni Mbunge wa Kyela.Ajali hii imetokea huko Iringa. Tumwombee apate nafuu mapema.Waweza kucheki video yake; nenda kwenye youtube hapo kulia, kwenye search box andika "ajali ya Mwakyembe" ,search waweza kuona.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako