Friday 12 August 2016

WASANII DIAMOND PLATNUMZ NA ALI KIBA WATOA MSAADA GSM FOUNDATION

Mie binafsi nawapongeza wasanii wa muziki, Diamond Platnumz na AliKiba kwa kutoa msaada wa tsh 41milioni kwa ‘GSM Foundation’ ili kusaidia jitihada za taasisi hiyo za upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako