Saturday 20 August 2016

TIMU YA TAIFA SOKA WANAWAKE UJERUMANI YATWAA MEDALI ZA OLYMPICS HUKO BRAZIL

Timu ya soka wanawake ya Ujerumani ilitinga fainali na kucheza na Sweden hapo jana usiku saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Maraccana huko Rio Brazil. Timu hiyo ilishinda kwa magoli 2 kwa 1 na hiyo kutwaa medali za dhahabu katika mashindano hayo
Timu ya sweden wakati wa Upokeaji Medali za silver
Timu ya Ujerumani wakati wa upokeaji wa Medali za Dhahabu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako